Waziri Mkuu Pinda aongoza mamia kumzika Kapteni James Yamungu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole, Betty Yamungu, mjane  wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kapteni James Yamungu katika mazishi ya liyofanyika Kibaha Agust 24, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mwili wa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Marehemu Kapeni James yamungu ukiwekwa kaburini katika mazishi yaliyofanyika Kibaha Agust 24, 2012. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitupa udongo kwenye kaburi laaliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Kapteni James Yamungy katika mazishi yaliyofanyika Kibaha Agust 24, 2012. (Picha na Ofisi aWaziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti,Kapteni  Jame Yamungu katika mazishi yaliyofanyika Kibaha Agust 24, 2012. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.