ALLY REHMTULLAH 2013 COLLECTION' MFANO WA KUIGWA
MC Taji Liundi akitoa utambulisho wa 'Ally Rehmtullah 2013 Collection' iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mamia ya wadau kutoka ndani na nje ya nchi.
Meneja Masoko wa Kampuni ya CFAO Motors ambao ni Wadhamini wakuu wa 'Ally Rehmtullah 2013 Collection kupitia Brand ya Mercedes Benz Tharaia Ahmed (wa tatu kushoto) sambamba na wadau wa tasnia ya urembo nchini wakati wa Onyesho hilo. Wa nne kushoto ni Aliyewahi kushika taji la Miss Tanzania 2004 Faraja Kotta (Mrs. Nyalandu), Nancy Sumari (Miss World Africa 2005) pamoja Mkurugenzi wa Mtandao wa Bongo5.com Lucas.
Jennifer Bash (katikati) akiwa na marafiki.
Wengine walikaa kwa nje kushuhudia 'Ally Rehmtullah 2013 Collection' kupitia Big Screen zilizofungwa kwenye bustani ya hoteli ya Serena jijini Dar.
Pichani Juu na Chini ni Models wakionyesha Vito vyenye Madini ya Tanzanite yanayochimbwa nchini Tanzania wakati wa raundi ya kwanza ya onyesho la 'Ally Rehmtullah 2013 Collection.(The Tanzanite Experience).
Pichani Juu na Chini ni Models wa kiume wakionyesha Mavazi ya Street Souls ambao ni mmoja wa wadhamini wa 'Ally Rehmtullah 2013 Collection'.
Msanii mkongwe wa Muziki nchini Diva Karola Kinasha akitoa burudani kwa wageni waalikwa.
Comments