BREAKIING NEWSSSSSS, WATU WANANE WAMEKUFA KWA AJALI SINGIDA

WATU tisa wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha gari la Polisi na Fuso leo mkoani Singida.

Kwa mujibu wa mashuhuda, walisema gari la Polisi lililokuwa linasafirisha maiti kutoka Morogoro kwenda Mara ambapo lilipinduka mara tatu hivyo kusababisha vifo vya watu watatu na wengine nane kujeruhiwa.

Ajali ya Fuso iliyokuwa imebeba watu na mizigo likielekea mnadani, lilipinduka Mtavila, mkoani Singida na kusababisha vifo vya watu watano na wengine kujeruhiwa.

Maiti wa ajali zote mbili zimehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida, ambapo pia majeruhi wanaendelea kutibiwa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI