CHINA YATUMA WATAALAMU TAZARA KUTAFITI NAMNA YA KUBORESHA RELI.

Mtafiti kutoka China Miao Zhong akimuonyesha Naibu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu (kulia kwa aliyejishika jicho) njia ya reli ilipoanzia kwa upande wa Tanzania. Naibu Waziri Mkuu wa China alikuwa na ziara katika Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) leo asubuhi.
Waziri wa Mwakyembe akimkaribisha Naibu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu, katika Station ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia  (TAZARA). Naibu Waziri Mkuu wa China alikuwa na Ziara ya kuangalia Namna Station hiyo inavyofanya kazi. Serikali ya China imetuma wataalamu kwa ajili ya kufanya utafiti wa namna ya kuboresha Mamlaka hiyo.
 Picha ya pamoja mbele ya Jengo la TAZARA.
Waziri wa Uchukuzi akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani),kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi,Mhandisi Omar Chambo na Kulia kwa Waziri ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, John Mngodo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.