Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Inspkta Jenerali Said Mwema (pichani), ameondoka mchana huu kwa helkopta ya jeshi hilo kwenda Iringa, ambako yametokea mauaji ya mwandishi wa habari wa Kituo cha Channel Ten, Daud Mwangosi katika vurugu zilizotokea wakati Jeshi la Polisi liwatimua viongozi wa Chadema pamoja na wafuasi wao wakati wa uzinduzi wa tawi enei la Nyororo, wilayni Mufindi.
Daud Mwangosi alikuwa miongoni mwa waandishi wa habari walikwenda jana kuripoti habari za Chadema. Inadaiwa alipigwa bomu na mmoja wa Askari wa FFU, kitendo kilichosababisha kifo chake.
Daud Mwangosi alikuwa miongoni mwa waandishi wa habari walikwenda jana kuripoti habari za Chadema. Inadaiwa alipigwa bomu na mmoja wa Askari wa FFU, kitendo kilichosababisha kifo chake.
Comments