Live Part 2: Maandamano sasa yanaelekea Ujenzi ..RPC Mkoa wa Mbeya akatiza katika maandamano hayo

Sasa maandamano yanapita maeneo ya Ujenzi huko Magari mengine yakiwa pembeni.

Waandishi wakiwa wanaendelea na maandamano kuelekea mjini, Haya ni maandamano ya amani

Liveee!!!! RPC mkoa wa Mbeya akiwa anakatiza Mbele ya maandamano ya waandishi wa Habari
RPC Huyoo anakatiza zake huku maaandamano yanaendelea
Sasa Gari la RPC Linaishia zake wakati waandishi wanaendelea na maandamano, ikumbukwe ni maandamano ya amani tu.

Sasa maandamano yapo eneo la Lift Valley
Picha Hii ya mwisho imepigwa muda huu na Mdau wa Idara ya Maji Jijini Mbeya ambaye nae ameshuhudia maandamano haya.
****
Maandamano ya amani yanaendelea na endelea kufutilia, Tone media Live Group tupo eneo la Tukio Live.

PICHA ZOTE NA MBEYA YETU BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.