MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SABA WA WALIMU WA AFRIKA (African Confederation for Principles ACP) JIJINI DAR LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwaaga walimu kutoka nchi za  Afrika wanaohudhuria mkutano wa 7  wa ACP, unaojadili kuhusu maboresho ya Elimu kwa nchi za Afrika. Mkutano huo umefunguliwa leo na Mheshimiwa Makamu wa Rais na unahudhuriwa na wawakilishi wa walimu kutoka nchi saba za Afrika hususani zile zinazotumia lugha ya Kiingereza katika ufundishaji.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia walimu wakati akifungua mkutano wa siku 3 kwa walimu wa nchi za Afrika unaojadili kuboresha Elimu kwa nchi za Afrika. Mkutano huo unahudhuriwa na wawakilishi wa walimu kutoka nchi saba za Afrika zinazotumia lugha ya Kingereza katika ufundishaji.
 Baadhi ya wawakilishi wa walimu waliohudhuria mkutano huo kutoka nchi za Afrika leo katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, akizungumza wakati wa mkutano huo.
 Mwakilishi wa Walimu kutoka Uganda, akitoa neno la shukrani.
 Makamu wa Rais Dkt. Bilal, akitembelea mabanda ya maonyesho katika mkutano huo.
 Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Masoko wa Kampuni ya S. Scientific Centre, ambao ni wasamabazaji wa vitabu vya mashuleni, Shana William, wakati akitembelea mabanda ya maonyesho katika mkutano huo, leo.
 Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, akisoma kitabu katika moja na banda la maonysho katika mkutano huo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wawakilishi wa walimu kutoka Kenya waliohudhuria mkutano wa siku 3 wa walimu wa nchi za Afrika kuhusu kuboresha Elimu kwa nchi za Afrika.
 Makamu wa Rais akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Uganda.
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, akiagana na walimu baada ya kumaliza kufungua rasmi mkutano huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.