MAMA SALMA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA 'THE RAND' NCHINI MAREKANI

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa Marekani Mama Laura Bush wakati wa kikao cha 'The Rand African First Ladies Initiative' kilichofanyika New York nchini Marekani tarehe 26.9.2012. The Rand African First Ladies Initiative ni washirika wa maendeleo wa wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika wanaoshughulikia kuleta mabadiliko ya afya na elimu kwa mamilioni ya wanawake na watoto  barani humo. PICHA NA JOHN LUKUWI

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.