SALOME KIULA NA FATMA HUSSEIN WAIBUKA WASHINDI MISS UTALII


Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (katikati) akiwa amepozi pamoja na mshindi namba mbili Caroline Yust (kulia) na mshindi wa tatu Lucy Julius.
Miss Utalii Wilaya ya Ilala, Salome Kiula (kulia) akiwa na Miss Utalii Wilaya ya Kinondoni Fatuma Hussein muda mfupi baada ya kutawazwa kuwa mamalikia wa utalii katika mashindano yaliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Ilala, Zourha Malisa
Miss Utalii mwenye kipaji Wilaya ya Kinondoni, Doreen Pereus


Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akizungumza na umati wa watu waliofurika kushuhudia mashindano hayo.
Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe


Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe akitoa zawadi kwa miss utalii kiaji, Zourha Malisa



Mkurugenzi wa duka la uuzaji wa nguo za ndani za wanawake la Secret Lengerie, ambao ni wadhamini wa mashindano hayo, Fatna Tambwe katika picha ya pamoja na mamiss utalii Ilala na Kinondoni




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.