SERENGETI YAMKABIDHI GARI, PAUL KESSY MSHINDI WA PROMOSHENI YA “VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO”
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Ephraium Mafuru kulia akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi gari kwa mshindi wa promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO Bw. Paul Kessy( hayupo pichani), kushoto ni meneja wa mipango na biashara SBL Bw. Bahati Singh.
Waandishi wa habari kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari wakimhoji mshindi wa gari Bw, Paul Kessy (yupo ndania ya gari) mara baada ya kukabidhiwa gari lake.
Mkurugenzi wa masoko kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Ephraim Mafuru (katikati) akimkabidhi funguo za gari mshindi wa gari ya mwisho katika promosheni ya vumbua hazina chini ya kizibo iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti, bw. Paul Kessy (wa pili kulia), na meneja wa bia ya Serengeti Bw. Allan Chonjo (kulia), kushoto ni meneja wa mipango na biashara SBL,Bw. Bahati Singh.
Mkurugenzi wa masoko kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Ephraim Mafuru (kushoto) akimkabidhi kadi ya gari mshindi wa gari ya mwisho katika promosheni ya vumbua hazina chini ya kizibo iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti, Bw. Paul Kessy (katikati), na meneja wa bia ya Serengeti Bw. Allan Chonjo kulia. Chanzo; Full Shangwe Blog
Comments