Washindi wa mashindano ya Redd's Miss Temeke 2012, wakiwa na furaha baada ya kukabidhiwa zawadi ya fedha taslimu na Mkurugenzi wa kampuni ya BMP Promotions iliyoaandaa mashindano hayo,Benny Kisaka (hayumo pichani) katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Edda Sylvester (mshindi wa kwanza), Flavian Maeda (mshindi wa pili), Catherine Masumbigana (mshindi wa tatu) na Jesca Haule aliyeshika nafasi ya nne. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mkurugenzi wa BMP Promotions, wandaaji wa mashindano hayo, Benny Kisana akimkabidhi kitita cha sh. milioni moja, mshindi , Edda Sylvester.
Edda akifurahia kupata zawadi hiyo
Mshindi wa pili wa mashindano hayo, Flavian Maeda akizawadiwa sh. 800,000
Mshindi wa tatu, Catherine akizawadiwa sh. 7oo,ooo
Mshindi wa nnse, Jesca Haule naye akizawadiwa sh. 400,000
Mkurugenzi wa BMP Promotions, wandaaji wa mashindano hayo, Benny Kisana akimkabidhi kitita cha sh. milioni moja, mshindi , Edda Sylvester.
Edda akifurahia kupata zawadi hiyo
Mshindi wa pili wa mashindano hayo, Flavian Maeda akizawadiwa sh. 800,000
Mshindi wa tatu, Catherine akizawadiwa sh. 7oo,ooo
Mshindi wa nnse, Jesca Haule naye akizawadiwa sh. 400,000
Comments