Kinana akisalimia wana-CCM baada ya kuwasili uwanja wa Ndege wa Mtwara leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Mohamed Sinani.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akiwahutubia viongozi wa CCM ngazi mbalimbali mkoani Mtwara, alipokutana nao kwenye Ukumbi wa Makonde leo, akiwa katika ziara ya siku moja kutembelea mashina na matawi ya CCM na kufanya mikutano ya hadhara mkoani humo. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)
Comments