MUUMINI AITOSA TWANGA PEPETA AIBUKIA VICTORIA SOUND


Na Asha Bani

Aahidi kufanya kila analoweza kuipandisha chati bendi hiyo na kutamba kama nyingine huku akikiri kuwa na changamoto kubwa kuondoka Twanga na kuhamia bendi ndogo ya Victoria, jambo linalomfanya ajiumize ili kulilinda jina lake.

 MWANAMUZIKI nyota wa dansi Tanzania, Mwinjuma Muumini, ametangaza rasmi kuondoka Twanga Pepeta na kujiunga na bendi ya Victoria Sound ya jijini Dar es Salaam.

Muumini aliyepata kuwika na bendi mbalimbali hapa nchini zikiwamo Mchinga Sound na Double M, alisema jijini Dar es Salaam jana kwamba, ameingia mkataba wa miaka miwili na Victoria Sound.

Aliongeza, atafanya kila analoweza kuipandisha chati bendi hiyo na kutamba kama nyingine huku akikiri kuwa na changamoto kubwa kuondoka Twanga na kuhamia bendi ndogo ya Victoria, jambo linalomfanya ajiumize ili kulilinda jina lake.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.