Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi ambaye pia ni Mbunge wa
Ismani akiteta na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu kwenye
viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 7, 2012.
Waziri
Mkuu, Mizen go Pinda akizungumza na Mbunge wa Kahama, James Lembeli
(katikati) na Mbunge wa Viti Maalum,Maria Hewa kwenye viwanja vya Bunge
Mjini Dodoma Novemba 7, 2012.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Ireland nchini, Mhe.
Fionnuala Gilsenan, Ofisini kwake , Bungeni Mjini Dodoma Novemba 7,
2012. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Comments