Skip to main content


UHURU MARATHON ZATAMBULISHWA RASM BUNGENI

Mkurugenzi wa kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mh Anna Makinda mara baada ya kikao cha bunge ambapo spika alitambulisha Rasmi Bungeni juu ya uzinduzi wa Mbio za Uhuru wa Tanzania zenye lengo la kuwakumbusha watanzania umuhimu wa kukumbuka,kuzingatia na kuunzi urithi waliachiwa na viongozi waasisi wa Uhuru wa Tz ambao ni Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.
 Mkurugenzi wa kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck (kulia) akibadilishana mawazo na Mnadhimu Mkuu wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni na mbunge wa Singida, Tindu Lissu mara baada ya kikao cha bunge ambapo spika alitambulisha Rasmi Bungeni juu ya uzinduzi wa Mbio za Uhuru wa Tanzania zenye lengo la kuwakumbusha watanzania umuhimu wa kukumbuka,kuzingatia na kuunzi urithi waliachiwa na viongozi waasisi wa Uhuru wa Tz ambao ni Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.
Mkurugenzi wa kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck kulia akiwa na Naibu waziri wa Nishati na Madini Simbachawene mara baada ya kikao cha bunge ambapo spika alitambulisha Rasmi Bungeni juu ya uzinduzi wa Mbio za Uhuru wa Tanzania zenye lengo la kuwakumbusha watanzania umuhimu wa kukumbuka,kuzingatia na kuunzi urithi waliachiwa na viongozi waasisi wa Uhuru wa Tanzania ambao ni Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.