UHURU MARATHON ZATAMBULISHWA RASM BUNGENI
Mkurugenzi
wa kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck
akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mh
Anna Makinda mara baada ya kikao cha bunge ambapo spika alitambulisha
Rasmi Bungeni juu ya uzinduzi wa Mbio za Uhuru wa Tanzania zenye lengo
la kuwakumbusha watanzania umuhimu wa kukumbuka,kuzingatia na kuunzi
urithi waliachiwa na viongozi waasisi wa Uhuru wa Tz ambao ni
Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.
Mkurugenzi wa
kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck (kulia)
akibadilishana mawazo na Mnadhimu Mkuu wa kambi rasmi ya Upinzani
Bungeni na mbunge wa Singida, Tindu Lissu mara baada ya kikao cha bunge
ambapo spika alitambulisha Rasmi Bungeni juu ya uzinduzi wa Mbio za
Uhuru wa Tanzania zenye lengo la kuwakumbusha watanzania umuhimu wa
kukumbuka,kuzingatia na kuunzi urithi waliachiwa na viongozi waasisi wa
Uhuru wa Tz ambao ni Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.
Mkurugenzi
wa kampuni ya Intellectuals Communication Limited Innocent Melleck
kulia akiwa na Naibu waziri wa Nishati na Madini Simbachawene mara baada
ya kikao cha bunge ambapo spika alitambulisha Rasmi Bungeni juu ya
uzinduzi wa Mbio za Uhuru wa Tanzania zenye lengo la kuwakumbusha
watanzania umuhimu wa kukumbuka,kuzingatia na kuunzi urithi waliachiwa
na viongozi waasisi wa Uhuru wa Tanzania ambao ni
Upendo,Mshikamano,Umoja na Amani iliyopo.
Comments