Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akizungumza kabla ya
kuanza kwa mkutano wa kukusanya maoni ya Wabunge kuhusu Katiba Mpya
mjini Dodoma juzi Jumamosi, Novemba 3, 2012.
Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Joseph Warioba, Makamu wake
Jaji Augustino Ramadhani na Katibu wa Tume Bw. Assaa Rashid.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph
Warioba akiongea kabla ya kuanza kwa mkutano wa mkutano wa kukusanya
maoni ya Wabunge kuhusu Katiba Mpya mjini Dodoma juzi Jumamosi, Novemba 3, 2012.
Kulia kwake ni Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda na kushoto ni Makamu
wake Jaji Augustino Ramadhani na Katibu wa Tume Bw. Assaa Rashid.
Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais (Uhusiano) Mhe. Steven Wassira akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya
katika mkutano huo.
Mbunge wa Dole Mhe. Sylvester Mabumba akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano huo.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini(CHADEMA)Mhe. Zitto Kabwe akitoa maoni yake katika mkutano huo.
Meza kuu ilivyokuwa katika mkutano huo.
By
Omega S. Ngole,
Principal Information Officer,
Constitutional Review Commission (Tanzania),
Ohio Street,
PO Box 1681,
Dar es Salaam,
Tel: +255 (0) 22 2133425,
Fax: +255 (0) 22 2133442,
Mobile: +255 (00 757 500800,
Website: www.katiba.go.tz
Principal Information Officer,
Constitutional Review Commission (Tanzania),
Ohio Street,
PO Box 1681,
Dar es Salaam,
Tel: +255 (0) 22 2133425,
Fax: +255 (0) 22 2133442,
Mobile: +255 (00 757 500800,
Website: www.katiba.go.tz
Comments