THE
UNITED REPUBLIC
OF TANZANIA
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512,
2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
Fax: 255-22-2113425 |
|
PRESIDENT’S OFFICE,
THE
STATE HOUSE,
P.O. BOX
9120,
DAR
ES SALAAM.
Tanzania.
|
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Mwenyekiti na Wajumbe
wa Kamati Tendaji ya TASAF (TASAF STEERING COMMITTEE) kwa kipindi cha miaka
mitatu.
Taarifa
iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba 31, 2012 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi,
Balozi Ombeni Y. Sefue kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais – Ikulu,
imesema kuwa uteuzi huo umeanza Desemba 20, 2012.
Kwa
mujibu wa taarifa hiyo Bwana Peniel M.
Lyimo – Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa
Kamati Tendaji ya TASAF.
Wajumbe
wa Kamati Tendaji ya TASAF walioteuliwa ni kama
ifuatavyo:
(i)
Dkt. Khalid Salum Mohamed – Katibu Mkuu, Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar.
(ii)
Bw. Amran Masoud Amran – Ofisa Mdhamini
(Pemba), Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Zanzibar.
(iii)
Bw. January R.L. Kayumbe – Idara ya Umwagiliaji,
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
(iv)
Bi. Winfrida Annajoyce Nshangeki – Mkurugenzi
Idara ya Serikali za Mitaa, TAMISEMI.
(v)
Bi. Nyancheghe Anna Konyo Nanai – Mkurugenzi
Msaidizi, Idara ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu.
(vi)
Bw. Ally Msaki Ahmed – Mkurugenzi Msaidizi
Soko la Ajira, Wizara ya Kazi na Ajira.
(vii)
Bi. Constansia Peter Gabuse – Mkurugenzi
Msaidizi Jinsia, Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia na Watoto.
(viii)
Bi. Ened A. Munthali – Mratibu wa Sera na
Mipango, Ofisi ya Rais, Ikulu.
(ix)
Bi. Mariam Ally – Mchumi Mkuu, Idara ya Sera
na Mipango, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
(x)
Bw. Hussein Mativila – Mhandisi, Wizara ya
Ujenzi
(xi)
Bw. Jerome J.R. Buretta – Kamishna Msaidizi,
Fedha za Nje, Wizara ya Fedha na Uchumi.
(xii)
Bw. Zuberi Samataba – Mkurugenzi, Elimu ya
Msingi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
(xiii)
Bw. Abbass Kandoro – Mkuu wa Mkoa wa Mbeya.
Imetolewa na:
Kurugenzi
ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
31
Desemba, 2012
Comments