MWENYEKITI wa Kijiji cha Vigwaza mwenye koti jeusi (Asili ya Kiarabu) akicheza ngoma aina ya Bigililo wakati wa sherehe za uzinduzi wa Kituo cha Polisi cha Kata ya Vigwaza kilichofunguliwa mwishoni mwa wiki.(Picha na Mwenge Said)/
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Vijijini Allen Bureta akizungumza na wanachama wa chama hicho wakakti alipofanya ziara ya kutoa shukrani kwenye Kata ya Msongola mwishonimwa wiki. (Picha na Mwenge Said).
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Vijijini Allen Bureta aksisitiza jambo wakakti alipokuwa akizungumza na wana-CCM wa Kata ya Msongola. (Picha na Mwenga Said).
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Vijijini Allen Bureta akizungumza na wanachama wa chama hicho wakakti alipofanya ziara ya kutoa shukrani kwenye Kata ya Msongola mwishonimwa wiki. (Picha na Mwenge Said).
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Vijijini Allen Bureta aksisitiza jambo wakakti alipokuwa akizungumza na wana-CCM wa Kata ya Msongola. (Picha na Mwenga Said).
Comments