WADAU WA VIWANDA VYA CEMENT AFRICA WAKUTANA KATIKA MKUTANO WA TANO NCHINI TANZANIA KUZUNGUMZIA KUKUWA KWA SEKTA YA CEMENT


 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda (kulia) akijadiliana jambo na wadau wa viwanda vya cement waliohudhuria mkutano wa tano kuhusu sekta ya cementi katika bara la Afrika (katikati) Mkurugenzi wa kiwanda cha Twiga Cement Kanda ya Africa Mashariki, Pascal Lesoinne (kushoto) Mkurugenzi wa biashara wa Kampuni ya Dangote, Dk Stanley CM Ko. Mkutano huo wa siku mbili umeanza jijini Dar es Salaam Ferbruari 26. (Picha na Chris Mfinanga)
 Mkurugenzi wa biashara wa Kampuni ya Dangote, Dk Stanley CM Ko akijaongea na waandishi wa habari wa kituo cha Televisheni ya Taifa TBC wakatika wa Mkutano huo.
 Mkurugenzi wa biashara wa Kampuni ya Dangote, Dk Stanley CM Ko (katikati) akijadiliana jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Camel Oil Abdallah Nahdi (kulia) na Mshauri wa Biashara wa Kampuni ya Zabol Cement Arash Ehsanfar katika mkutano wa wadau wa viwanda vya cement tano kuhusu sekta ya cementi katika bara la Afrika uliofanyika Dar es Salaam Februari 26 2013. Mkutano huo wa ni wa siku mbili.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakurugenzi wadau wa viwanda vya cement waliohudhuria mkutano wa tano kuhusu sekta ya cementi katika bara la Afrika Dar es Salaam Februari 26 2013

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.