YANGA YAIKAMUA KAGERA SUGAR I-0

 Simon Msuna wa Yanga akichuana na Malegesi Mwangwa wa Kagera Sugar, timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
 Simon Msuna na Muganyizi Martin wa Kagera Sugar
 Said Bahanuzi wa Yanga na  Benjamin Asukile
 Frank Domayo wa Yanga na Daudi Jumanne
 Haruna Niyonzima wa Yanga na  Ally Abdulkareem
 Simon Msuna wa Yanga na  Malegesi Mwangwa
 Haruna Niyonzima wa Yanga na Muganyizi  Martin
 Didie Kavumbagu wa Yanga na Juma Nade
 Kavumbagu wa Yanga aakiwa amelala baada ya kudaiwa kukwatuliwa kwenye eneo la hatari mwa Kagera Sugar. Hata hivyo penati iliytotolewa licha ya kusababisha ubishi lakini haikuza matunda baada ya mchezaji wa Yanga aliyeipiga kuipaisha.
 Refa akibishana na wacxhezaji wa Kagera kwa ajili ya penati hiyo
 Penati ambayo haikuzaa matunda
Mashabviki wa Yanga. PICHA ZOTE NA NKOROMO BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.