SHIRIKA LA WITHOUT MOTHER NA BEZ MAMY WATOA MISAADA YA VITABU VYA KIADA, UJENZI WA DARASA NA MADAWATI KWA SHULE ZA WILAYA YA CHUNYA, RUNGWE NA MBARALI MKOANI MBEYA

Ujenzi wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Galula ukiendelea

Waalimu wa shule ya Msingi Mahango wakipanga vitabu walivyopewa msaada na Shrika la Without Mother na Občanské sdružení Bez MÑmy
Wilaya ya Mbarali nayo haikusahaulika baada ya shule za Msingi Mahango na Simike kupata msaada wa vitabu vya kiada vyenye thamani ya shilingi 1, 282, 000
Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi Simike Bw Vituko Issa Akipitia vitabu vilivyotolewa msaada kwa shule yake

Bw Chris Zacharia akiwa na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kisa Bw Usaje Kasitu wakikagua maendeleo ya utengenezaji wa Madawati 32 yaliyofadhiliwa na Without Mother Organization (Tanzania) na Občanské sdružení Bez MÑmy (Czech Republic)


Pia Shule ya Msingi Kisa ya Wilaya ya Rungwe imepewa msaada wa madawati 32


Shirika lisilo la kiserikali la Jijini Mbeya WITHOUT MOTHER kwa kushirikiana na shirika mwenza na Jamhuri ya Czech Občanské sdružení Bez MÑmy wametoa misaada mbalimbali kwa shule za wilaya ya Chunya, Rungwe na Mbarali ili kuboresha elimu mkoani Mbeya
Akiongea na Mbeya yetu Mwenyekiti wa Without Mother NGO na Mratibu wa miradi ya Africa ya shirika la ObčanskΓ© sdruΕΎenΓ­ Bez MΓ‘my  Bw Chris Zacharia amesema wametoa TZS  1,170,000 kwa shule ya Msingi Galula kwa ajili ya Ujenzi wa Darasa la awali

Picha zote kwa hisani ya WMO|Občanské sdružení Bez MÑmy

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.