SHIRIKA LA WITHOUT MOTHER NA BEZ MAMY WATOA MISAADA YA VITABU VYA KIADA, UJENZI WA DARASA NA MADAWATI KWA SHULE ZA WILAYA YA CHUNYA, RUNGWE NA MBARALI MKOANI MBEYA
Ujenzi wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Galula ukiendelea
|
Bw Chris Zacharia akiwa na
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kisa Bw Usaje Kasitu wakikagua maendeleo ya
utengenezaji wa Madawati 32 yaliyofadhiliwa na Without Mother Organization
(Tanzania) na ObΔanskΓ© sdruΕΎenΓ Bez MΓ‘my (Czech Republic)
Pia Shule ya Msingi Kisa ya Wilaya ya Rungwe imepewa msaada wa madawati 32
Shirika lisilo la
kiserikali la Jijini Mbeya WITHOUT MOTHER kwa kushirikiana na shirika mwenza na
Jamhuri ya Czech ObΔanskΓ© sdruΕΎenΓ Bez MΓ‘my wametoa misaada mbalimbali kwa
shule za wilaya ya Chunya, Rungwe na Mbarali ili kuboresha elimu mkoani Mbeya
Akiongea na Mbeya
yetu Mwenyekiti wa Without Mother NGO na Mratibu wa miradi ya Africa ya shirika
la ObΔanskΓ© sdruΕΎenΓ Bez MΓ‘my Bw Chris Zacharia amesema wametoa
TZS 1,170,000 kwa shule ya Msingi
Galula kwa ajili ya Ujenzi wa Darasa la awali
Picha zote kwa hisani ya
WMO|ObΔanskΓ© sdruΕΎenΓ Bez MΓ‘my
|
Comments