DIAMOND,LINAH NA TMK FAMILY WAFANIKISHA MKUTANO WA CCM MOROGORO

 Kundi la TMK Wanaume Family likishambulia jukwaa wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Kiwanja cha Ndege mjini Morogoro
Msanii Temba wa TMK Family akifanya mambo
 Msanii wa kizazi kipya Lina Sanga akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Sbaaba, mjini Morogoro.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa alipokuwa akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond'akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM , mjini Morogoro

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI