DIAMOND,LINAH NA TMK FAMILY WAFANIKISHA MKUTANO WA CCM MOROGORO

 Kundi la TMK Wanaume Family likishambulia jukwaa wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Kiwanja cha Ndege mjini Morogoro
Msanii Temba wa TMK Family akifanya mambo
 Msanii wa kizazi kipya Lina Sanga akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Sbaaba, mjini Morogoro.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa alipokuwa akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond'akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM , mjini Morogoro

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

NGUVU YA UJASUSI WA TANZANIA KITOVU CHAKE NI IRINGA TANGU ENZI ZA MKWAWA