Kundi la TMK Wanaume Family likishambulia jukwaa wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Kiwanja cha Ndege mjini Morogoro
Msanii wa kizazi kipya Lina Sanga akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Sbaaba, mjini Morogoro.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa alipokuwa akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro
Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond'akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM , mjini Morogoro
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo
Msanii Temba wa TMK Family akifanya mambo |
Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa alipokuwa akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro
Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond'akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM , mjini Morogoro
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo
Comments