DK MWAKYEMBE ANOGESHA TBL MEDIA BONANZA

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, akizungumza katika Bonanza la waandishi wa habari lililodhaminiwa na Kampuni yas Bia Tanzania (TBL) leo kwenye viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Timu ya Bloggers Fc iliyoichachafya timu ya DSJ katika michuano hiyo
Kikosi cha timu ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam  (DSJ), kilichochuana na timu ya Bloggers FC, katika Bonanza la Vymbo vya Habari, kwenye viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam.
Bendi ya Bongo Extra ikitumbuiza katika bonanza hilo.

Wanenguji wa bendi ya Bongo Extra wakionesha umahiri wao.

Wanahabari wakikonga nyoyo zao kusakata muziki
Wanahabari wakisakata taarabu iliyokuwa ikiporomoshwa na kikundi cha Jahazi.
i
Kikundi cha Muziki cha Taarabu cha Jahazi, kikitumbuiza katika bonanza hilo.

Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo, akihutubia kuelezea udhamini wa kampuni hiyo wa bonanza hilo.
Mwenyekiti wa Taswa, Juma Pinto, akihutubia kabla ya kumkabidhi mgeni rasmi, Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia), akimkabidhi nahodha wa timu ya netiboli ya Jambo Leo, Asha Kigundula, Kombe la ubingwa wa mchezo huo katika Bonanza la Wanahabari lililodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwenye viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), Juma Pinto.
Waaandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi wakifurahia kombe la ubingwa wa soka.
Wanahabari wananwake wakishindana kucheza taarabu.
Mshindi wa pili wa kucheza taarabu, Upendo, akipatiwa zawadi ya fedha na Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi zawadi ya fedha Mtangazaji wa Radio Uhuru, Cecy Jeremia aliyeshinda kucheza taarabu.
                                              Bi Susy (kushoto) akiwa na rafiki yake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.