Bungeni Leo tunajadili Bajeti ya Wizara ya Kilimo. Waziri kaomba
tshs
>> 333bn tu Kwa ajili ya Wizara yenye kuhusisha zaidi ya 70% ya Watanzania.
>> Bajeti ya Kilimo ni 1.8% tu ya Bajeti nzima ya Serikali. Tunajua kuwa
>> Umasikini wa Watanzania upo vijijini na shughuli yao kubwa ni Kilimo.
>> Hata
>> hivyo tunawezaje kuondoa umasikini wakati sekta ya watu Masikini
>> haijaliwi
>> kabisa? Jana #IMF na #BenkiYaDunia wametoa Global Monitoring Report
>> ambayo
>> inaonyesha kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kutoka mwisho kwa umasikini
>> katika
>> nchi za EAC, ikiishinda Burundi tu. Taarifa inasema 68% ya Watanzania
>> wanaishi chini ya dola 1.25 Kwa siku chini ya Rwanda 61%, Kenya 43% na
>> Uganda 38%. Ni dhahiri kwa bajeti za namna hii katika Kilimo umasikini,
>> ufukara, udhalili wa maisha utaendelea kuwakumbatia Watanzania.
>> 333bn tu Kwa ajili ya Wizara yenye kuhusisha zaidi ya 70% ya Watanzania.
>> Bajeti ya Kilimo ni 1.8% tu ya Bajeti nzima ya Serikali. Tunajua kuwa
>> Umasikini wa Watanzania upo vijijini na shughuli yao kubwa ni Kilimo.
>> Hata
>> hivyo tunawezaje kuondoa umasikini wakati sekta ya watu Masikini
>> haijaliwi
>> kabisa? Jana #IMF na #BenkiYaDunia wametoa Global Monitoring Report
>> ambayo
>> inaonyesha kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kutoka mwisho kwa umasikini
>> katika
>> nchi za EAC, ikiishinda Burundi tu. Taarifa inasema 68% ya Watanzania
>> wanaishi chini ya dola 1.25 Kwa siku chini ya Rwanda 61%, Kenya 43% na
>> Uganda 38%. Ni dhahiri kwa bajeti za namna hii katika Kilimo umasikini,
>> ufukara, udhalili wa maisha utaendelea kuwakumbatia Watanzania.
Comments