Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rcihard Lyimo (kushoto) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Maria Kashonda (katikati) na Said El- Maamry.
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Salama Kombo Ahmed (katikati) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Abubakar Ali (kushoto) na Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir (kulia)
 
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mhe. Raya Suleiman Hamad (kushoto) akizungumza wakati wa kikao cha uchambuzi wa maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya kilichofanyika leo (jumanne, April 2, 2013) katika Ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Wajumbe wa Tume, Humphery Polepole na Jesca Mkuchu.Picha na Tume ya Katiba

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.