Mbunge wa Jimbo la Ludewa , Deo Filikunjombe, akielezea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika jimbo hilo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara ambapo alivinanga vyama vya siasa kwa kuendekeza siasa za uchochezi nchini.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwwanja wa Ludewa, Mjini Ludewa .
Baadhi ya wanachama wapya wa CCM, wakila kiapo cha utii, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) baada ya kukabidhiwa kadi wakati wa mkutano huo.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Comments