MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII, SSRA WATOA MISAADA KATIKA WODI YA WAZAZI YA CHIKANDE NA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI CHA MIYUJI

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano cha SSRA, Bi. Sara Msika akiwa amembeba mmoja kati ya watoto waliozaliwa katika Hospital ya Genera,  wodi ya wazazi ya Chikande mkoani Dodoma.

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa SSRA, Bi. Sara Msika akikabidhi msaada wa shuka 100 na magodoro 30 katika wodi ya wazazi ya Chikande.
Wawakilishi wa Mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na SSRA wakikabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi katika kituo cha kulea watoto wenye ulemavu wa akili cha Miyuji Cheshire mkoani Dodoma.
You might also like:

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA