MKUTANO WA 39 WA BARAZA KUU LA WAFANYAKAZI WA NSSF WAFANYIKA MJINI BAGAMOYO

 Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Baraza la Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau akizungumza wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi uliofanyika katika Hotel ya Oceanic Bay mjini Bagamoyo. Kushoto ni Katibu wa Baraza hilo, Mzee Mfaume.
 Meneja Kiongozi, Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)Eunice Chiume (kuli), akifuatilia mada wakati wa mkutano huo.

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori, wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi uliofanyika mjini Bagamoyo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk. Ramadhan Dau (katikati) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori, wakati wa Mkutano wa 39 wa Baraza Kuu la wafanyakazi uliofanyika mjini Bagamoya juzi. Kulia ni Mkurugenzi Rasilimari Watu wa NSSF, Chiku Matesa.
 Mada zikitolewa.
Picha ya pamoja.
Muziki ulipamba moto.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.