MOURINHO SASA HURU KUREJEA CHELSEA BAADA YA KUFUKUZWA 'KISTAARABU' REAL MADRID


IMEWEKWA MEI 21, 2013 SAA 12:30 ASUBUHI
KAMA amefukuzwa. Kocha Jose Mourinho yuko huru kurejea Chelsea, baada ya rais wa Real Madrid, Florentino Perez juzi usiku kusitisha malipo Pauni 12 za kuvunja mkataba wake.
Perez ametangaza kwamba, matatizo ya Mourinho miaka yake mitatu kazini Bernabeu vitaisha mwezi ujao, baada ya kufanya mazungumzo na kocha huyo Mreno mwishoni mwa wiki.
Mourinho ana miaka minne katika mkataba wake bado. Ataiongoza timu Jumapili dhidi ya Real Sociedad na kisha katika mechi ya nyumbani dhidi ya Osasuna, Juni 1.
Special gone: Jose Mourinho has been sacked as Real Madrid manager, with a return to Chelsea on the cards
Special anaondoka: Jose Mourinho amefukuzwa ukocha wa Real Madrid na sasa yuko kurejea Chelsea
Mourinho
Early bath: Mourinho was sent off in Real's 2-1 Copa Del Rey final defeat by Atletico
Kitimutimu: Mourinho alitolewa nje kwa kadi nyekundu Real ikilala 2-1 katika Fainali ya Copa Del Rey dhidi ya Atletico

Perez, mwenye matumaini ya kumtwaa kocha wa Paris Saint-Germain, Carlo Ancelotti, alisema: "Klabu na kocha tumekubaliana ni wakati mwafaka kumaliza uhusiano wetu. Tungependa kumshukuru Jose kwa kazi yote ngumu. Timu imeimarika katika miaka yake mitatu na tunamtakia kila la heri.’
Special One ataondoka rasmi katika nafasi yake Bernabeu Juni 3 na Chelsea inatumai kumtambulisha katika Mkutano na Waandishi wa Habari Stamford Bridge wiki inayofuata.
Taking his place: PSG boss Carlo Ancelotti is lined up to be the man to step into Mourinho's shoes
Anachukua nafasi: Kocha wa PSG, Carlo Ancelotti anatarajiwa kuvaa viatu vya Mourinho
Come home: Mourinho's return to Chelsea would be a popular move among the Stamford Bridge crowd
Njoo nyumbani: Kurejea kwa Mourinho Chelsea kutakuwa jambo kubwa na zuri mbele ya umati wa Stamford Bridge

Stat attack: Mourinho has the best win percentage in Premier League history
REKODI: Mourinho ana rekodi nzuri zaidi ya ushindi katika Ligi Kuu England kihistoria

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI