PICHA ZA KINANA NJOMBE.
1. Maelfu ya wananchi wakimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahma
Kinana (chini ya bendera) alipowasili leo Machi 31, 2013, kwenye Ofisi
ya CCM Wilaya ya Wangong'ombe, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji
wa ilani ya CCM, na kukagua na kuimarisha uhai wa Chama mkoani Njombe.
(Picha na Bashir Nkoromo)
2. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua
tofali kwenye ujenzi wa zahanati ya Samaria, Kata ya Makoga Wilaya ya
Wangong;'ombe alipopita eneo hilo, akiwa katika ziara ya kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM, na kukagua
na kuimarisha uhai wa Chama mkoani Njombe. (Picha na Bashir Nkoromo)
Comments