Tigo Tanzania,24 Mei 2013:Kwa mara nyengine tena Kupitia huduma mpya ya Tigo ya ‘Tigo Twitter Live Chat forum’, wateja wamewezesha kuchati na staa wao Millard Ayo kupitia ukurasa wa Twitter wa Tigo.Mashabiki wa Millard Ayo walipewa fursa ya kuchati moja kwa moja nae ikiwa ni pamoja na kumuuliza maswali ambapo aliyajibu papo hapo.
Tigo Tanzania,24 Mei 2013:Kwa mara nyengine tena Kupitia huduma mpya ya Tigo ya ‘Tigo Twitter Live Chat forum’, wateja wamewezesha kuchati na staa wao Millard Ayo kupitia ukurasa wa Twitter wa Tigo.Mashabiki wa Millard Ayo walipewa fursa ya kuchati moja kwa moja nae ikiwa ni pamoja na kumuuliza maswali ambapo aliyajibu papo hapo.
Comments