MSHINDI WA MIL 100 WA PROMOSHENI YA VODACOM MAHELA
AFUNGUA AKAUNTI NMB
Benki ya
NMB imemkaribisha mshindi wa milioni 100
wa Vodacom MAHELA , Bwana Valerian
Nickodemus kwa kumfungulia akaunti na kujitolea kumpa mafunzo ya ujasiriamali
na matumizi sahihi ya fedha ili
kumwezesha kuwa na matumizi yenye tija katika maisha yake.
MshindiwashilingiMilioni 100
katikapromosheniya Vodacom MAHELA, Bw. Valerian
Nickodemus (kati) akifurahi pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa NMB,
Abdulmajid Nsekela(kushoto) na Mkuu wa chapa na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin
Twisa baada ya kukabidhiwa fedha hizo.
MshindiwashilingiMilioni 100
katikapromosheniyaVodacom MAHELA,Bw. Valerian
Nickodemus (kati) akikabidhiwa kadi yake ya NMB ATM na Mkuu wa Kitengo cha
Wateja Binafsi wa NMB, Abdulmajid Nsekela(kulia) baada ya kufungua akaunti
katika benki ya NMB. Akishuhudia ni Mkuu wa Chapa na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twisa.
Comments