NMB YAZIDI KUWA BEGA KWA BEGA NA WANAHABARI
Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa Straton Chilongola akimkabidhi Rais wa Tanzania
Press Club Keneth Simbaya mfano wa hundi yenye thamani ya shilling
million mbili (2.5M/=).Makabidhiano haya yalifanyika katika hafla ya
kuchangisha fedha za kununua mashine za kudurusu (print)magazeti kanda
ziwa ili kupunguza ucheleweshwaji wa kazi zao kutoka Dar es
salaam.Kwanza kulia ni Josephine Kulwa, Meneja Mawasiliano NMB na kwanza
kushoto ni mwenyekiti wa Press Club kanda ya ziwa Deus Bugaywa
Comments