HATIMAYE YANGA YAMSAINI HUSSEIN JAVU, YAMKANA OLOYA

Yanga imemnasa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Husssein Javu ambaye pia alikuwa akiwaniwa na Simba.

Habari kutoka Yanga zinasema kwamba, nyota huyo amesaini mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo katika michuano mbalimbali itakayoshiriki pamoja na Ligi kuu bara.
Aidha, mabingwa hao wa ligi kuu bara wamekana kumsajili mshambuliaji wa Kimataifa Mganda, Moses Oloya ambaye Simba nayo ilikuwa ikifanya mazungumzo naye

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.