HATIMAYE YANGA YAMSAINI HUSSEIN JAVU, YAMKANA OLOYA

Yanga imemnasa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Husssein Javu ambaye pia alikuwa akiwaniwa na Simba.

Habari kutoka Yanga zinasema kwamba, nyota huyo amesaini mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo katika michuano mbalimbali itakayoshiriki pamoja na Ligi kuu bara.
Aidha, mabingwa hao wa ligi kuu bara wamekana kumsajili mshambuliaji wa Kimataifa Mganda, Moses Oloya ambaye Simba nayo ilikuwa ikifanya mazungumzo naye

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA