PILIKAPILIKA ZA USAFI DAR NA UJIO WA OBAMA

 Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni, wakiwa katika pilikapilika  za kufanya usafi jana katika taa za kuongozea magari Ubungo, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili leo nchini kwa ziara ya siku mbili, ambapo pia atatembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.

Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni, wakifanya usafi leo katika taa za kuongozea magari Ubungo, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili leo nchini kwa ziara ya siku mbili, ambapo pia atatembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI