PINDA AFUNGUA SEMINA YA YA MTANDAO WA WABUNGE APNAC

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akionyesha Tuzo ya heshima aliyopewa Rais Jakaya   Kikwete  na Mtandao wa wabunge  wa mabunge wa Afrika wa kupambana na rushwa APNAC ili kutambua mchango wake katika kupambana na rushwa. Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye semina na SPNAC iliyofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye ukumbi wa Afrian Dream mjini Dodoma Juni 14, 2013.  Kushoto ni Spika wa Bunge Anne Makinda.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Spika wa Bunge Anne Makinda (katikati)  na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Gerge Mkuchika baada ya kufungua semina ya Mtandao wa wabunge  wa mabunge wa Afrika wa kupambana na rushwa APNAC  iliyofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye ukumbi wa Afrian Dream mjini Dodoma Juni 14, 2013.  Kushoto ni Spika wa Bunge Anne Makinda.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0963 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiteta na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, George Mkuchika baada ya kufungua semiana ya Mtandao wa Wabunge wa  Afrika waanaopambana na Rushwa APNAC kwenye ukumbi wa Afrian Dream mjini Dodoma Juni 14, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaji Kiongozi, Fakih  Jundu (kakatikati) na Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa baada ya kufungua semiana ya Mtandao wa Wabunge wa  Afrika waanaopambana na Rushwa APNAC kwenye ukumbi wa Afrian Dream mjini Dodoma Juni 14, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0986 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Waziri wa Habari , Vijana na Michezo, Amos Makala kwenye viwanja vya Hoteli ya African Dream mjini Dodoma Juni 14, 2013. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.