ASKARI APAMBANA NA DEREVA ANAYEDAIWA KULEWA POMBE KISHA KUTAKA KUENDESGA GARI LA ABIRIA MORO.

Askari wa jeshi la polisi akimnasua dereva wa daladala aliye ng'ang'ania katika mshikio wa kioo cha kuangalia nyuma cha dereva katika eneo la kutokea magari ya stendi kuu ya daladala yaendayo nje ya Manispaa ya Morogoro baada ya dereva huyu kudaiwa kunywa pombe huku akitaka kuend
esha gari la abiria Mjini-Kihonda jambo ambalo askari huyu baada ya kupata taarifa alipingana asiendeshe na kuchukua jukumu la kumpeleka kituo kikuu cha mkoa wa Morogoro. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM

 Hapa akisaidiwa na askari wa ulasama barabarani.
Mambo naye aliongeza nguvu wakati wakimpeleka kituo kikuu cha polisi dereva huyo.
You might also like:

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI