UZINDUZI WA MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA WATOTO WAZINDULIWA MBEYA

Mgeni rasmi akipokea maandamano 

Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro ambaye alimwakilisha mkuu wa mkoa Mbeya  akihutubia mamia ya wakazi wa mkoa wa Mbeya waliohudhhuria uzinduzi wa mradi wa kupinga ukatili wa kijinsia na watoto(GBV) utakaoendeshwa kwa majaribio kwa muda wa miezi 18 kwenye baadhi ya maeneo ya wilaya sita zilizopo mkoani Mbeya

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI