CHADEMA WAFANYA MAANDAMANO YA AMANI KUELEKEA OFISI YA MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA

 Wafuasi wa Chadema wakiandamana kuelekea katika ofisi za Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwenda kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi wa Madiwani. (Picha zote na  Picha na Ferdinand Shayo)
 Wafuasi wa CHADEMA wakishangilia ushindi katika maandamano ya amani ya madiwani wapya na viongozi kwenda kumpongeza Mkurugenzi wa jiji kwa kusimamia uchaguzi vizuri.
 Lema akiwa na madiwani wapya wakiingia katika jingo la Halmashauri kuonana na Mkurugenzi wa jiji 
OCD wa Arusha Gilles Mulloto akimisihi Mbunge wa Arusha awatawanye wafuasi wa chama hicho waliokuwa wamekusanyika nje ya jingo la Halmashauri wakiwasubiri viongozi wao waliokuwa wamekwenda kuonana na Mkurugenzi wa jiji kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi wa jana,wafuasi hao na viongozi hao walifanya maandamano ya amani  jana. Picha na Ferdinand Shayo
 Madiwani  wapya waliochaguliwa jana na wabunge wa CHADEMA wakibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa jiji la Arusha Sipora Liana   jana walipofika ofisini kwake kumpongeza kwa kusimamia vizuri uchaguzi madiwani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.