Mmiliki wa Blogu hii ya Kamanda wa Matukio, Kamanda Richard Mwaikenda, akiwa na Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali Jenerali John Minja wakati wa hafla ya Tanzania kusaini mkataba na Thailand wa kubadilishana wafungwa mbele ya m Waziri Mkuu wa Thailanda na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu, Dar es Salaam jioni hii.
Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania, John Minja
Comments