MBUNGE LEDIANA MAFULU MNG'ONG'O ATIMIZA AHADI YAKE AKABIDHI TSH MILIONI 1 MUFINDI
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Evarista
Kalalu (kushoto) akimpongeza mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa
Lediana Mafulu Mng'ong'o kwa kutimiza ahadi yake ya Tsh milioni 1
aliyoitoa wilayani Mufindi kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya ujenzi
wa Hosteli ya wasichana Kingege kata ya Malangali wilaya ya Mufindi
wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya Mufindi Peter Tweve na
afisa habari mkoa wa Iringa Denis Gondwe
Hapa mkuu wa wilaya ya Mufindi
Evarista Kalalu akionyesha kitita cha Tsh milioni 1 kilichotolewa
na mbunge Mng'ong'o kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za kumsaidia
mtoto wa kike Kielimu wilaya ya Mufindi , kweli wabunge wengine
wanapaswa kuiga mfano huu wa kutumia mavuno ya bungeni kusaidia
elimu watoto wa kike
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mufindi akimkabidhi mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mufindi fedha hizo .
................Habari kamili itakujia mapema leo.......
Comments