NEWS ALERT: HATIMAYE PESA ZA RESEARCH KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA 3 CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI (TEKU) KULIPWA PESA ZAO KUANZIA KESHO.
Vice Chancellor wa TEKU Prof. Dr. Tuli Kassimoto
Huu
ni uthbitisho wa kupokea Fedha hizo leo na sio kama walivyo kuwa
wakidai wanafunzi kuwa Chuo kilitunza Fedha zao katika (Fixed deposit)
Huu ni uthibitisho kutoka Bodi ya Mikopo wakati walipo anza kufanya malipo kwa ajili ya wanafunzi .
IMETOLEWA NA
UTAWALA
CHUO KIKUU CHA TEOFILO KISANJI
Comments