RC ISHENGOMA AAGIZA HALMASHAURI KUSIMAMIA FEDHA ZA MIRADI
Vyombo vya ulinzi na usalama mkoa wa Iringa vikifuatilia kikao hicho
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma akifungua kikao cha RCC mkoa wa Iringa kulia ni mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi na kushoto ni katibu tawala mkoa wa Iringa Wamoja Ayub
Wajumbe wa kikao cha kamati ya ushauri mkoa (RCC) wakiwa wamesimama kwa kumkumbuka aliyekuwa mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilolo marehemu Mohamed Gwalima aliyefariki ghafla hivi karibuni ,kutoka kushoto ni mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita, mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla,mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kilolo Joseph Muhumba na kaimu mkurugenzi wa wilaya ya Kilolo.Kwa hisani ya Francis Godwin Blog
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Ishengoma Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi na RAS Iringa wamoja Ayub wakimkumbuka mkurugenzi Kilolo aliyefariki dunia mwezi huu
Wajumbe wa kikao cha RCC Iringa wakimkumbuka aliyekuwa mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilolo Mohamed Gwalima aliyefariki dunia hivi karibuni ,kutoka kulia ni mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati, mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Lediana Mafulu Mng'ong'o ,mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini Mendlad Kigolla ,mku wa wilaya ya Mufindi, Evarita kalalu na mwenyekiti wa Halmashauri ya Mufindi Peter Tweve
Comments