UJENZI WA BARABARA YA SAE KWENDA ITUHA JIJINI MBEYA WAKAMILIKA
Hapa ndipo barabara ilipo ishia eneo la Ituha
Hiki ni kituo cha Mabasi kilichopo Ituha |
Haya ni maeneo ya Ituha
Hiki ni kituo kidogo cha Bodaboda pamoja na Bajaji
eneo la Ituha
Baadhi ya Maduka yakiwa yameanza kujengwa pembezoni
mwa barabara
Hii moja ya kona ambayo ni hatari , ni ya mwisho
kuelekea Ituha
Huu ni upande wa barabara wa Ituha
Eneo hili ndilo mpaka kati ya Sae na Ituha
Hili ni eneo ambalo liliwatesa sana wakazi wanaoishi
maeneo haya kwa kuwa barabara ilikuwa mbaya sana na kusababisha magari mengi
kukwama na hata kulala kama kumekosekana msada. Lakini kwa sasa eneo hilo lipo
safi
Hiki ni kituo cha Mabasi cha Sae
Hii ni moja ya kona ya hatari ambayo ipo muundo wa S
ambayo imesababisha ajali kwa baadhi ya Bodaboda ambazo zinakwenda mwendo wa
kasi
Hii ndio njia ya kuingilia kuelekea
Ituha
PICHA ZOTE NA MBEYA YETU
Comments