UJENZI WA BARABARA YA SAE KWENDA ITUHA JIJINI MBEYA WAKAMILIKA

 Hapa ndipo barabara ilipo ishia eneo la Ituha
Hiki ni kituo cha Mabasi kilichopo Ituha
 Haya ni maeneo ya Ituha
 Hiki ni kituo kidogo cha Bodaboda pamoja na Bajaji eneo la Ituha
 Baadhi ya Maduka yakiwa yameanza kujengwa pembezoni mwa barabara
 Hii moja ya kona ambayo ni hatari  , ni ya mwisho kuelekea Ituha
 Kituo cha Mabasi cha Njia Panda Ituha
Huu ni upande wa barabara wa Ituha
 Eneo hili ndilo mpaka kati ya Sae na Ituha
 Hili ni eneo ambalo liliwatesa sana wakazi wanaoishi maeneo haya kwa kuwa barabara ilikuwa mbaya sana na kusababisha magari mengi kukwama na hata kulala kama kumekosekana msada. Lakini kwa sasa eneo hilo lipo safi 
Hiki ni kituo cha Mabasi cha Sae

 Hii ni moja ya kona ya hatari ambayo ipo muundo wa S ambayo imesababisha ajali kwa baadhi ya Bodaboda ambazo zinakwenda mwendo wa kasi 
Hii ndio njia ya kuingilia kuelekea Ituha

PICHA ZOTE  NA MBEYA YETU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.