BURIANI MAMA ROSE SANGIWA MATAJI


Familia ya Marehemu Chief Shaaban Mtengeti II, inasikitika kutangaza kifo cha shangazi yao mpendwa Mama Rose Heinrich Sangiwa Mataji, mama yake Robin, Henry na Robert, kilichotokea Jumamosi tarehe 28 September alasiri huko Rochester, New York, Marekani. Habari ziwafikie ukoo wote wa Mzee Heinrich Sangiwa, Bakari Sangiwa, Athumani Sangiwa, Mtengeti Sangiwa,  Kihama Sangiwa, Koshuma Sangiwa, Profesa Twalib Ngoma na ukoo  wote wa kina Ngoma,  na wa kwa Mdimu wote, na ukoo wa Rtd. Col. Julius Mataji wa Dodoma. Mipango ya mazishi inafanywa huko Rochester, New York. 
Kwa Dar es Salaam ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu watakutana nyumbani kwa Bi. Hajjat Mwatumu Jasmine Malale, 51 Mlingotini Close, Regent Estate, Dar es Salaam Jumatatu Septemba 30, jioni baada ya saa za kazi. Kwa mawasiliano simu 0713 317 254; 0752 345 602



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI