KANISA LA TGMIT LAFANYA IBADA MAALUMU KUIOMBEA AMANI TANZANIA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akishiriki kuwasha mshumaa kama tendo la kuiangaza nchi ya Tanzania.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waumini wa kanisa la TGMIT lililopo Mwanza, Katibu wa NEC aliwaeleza waumini waliohudhuria ibada hiyo maalumu kuwa amani tuliyokuwa nayo imeletwa na Mwenyezi Mungu hivyo tusiruhusu ipotee.
 Askofu Mkuu Msaidizi wa Kanisa la TGMIT Florence Ndaki akiongoza ibada maalumu ya kuiombea Tanzania amani, katika ibada hiyo viongozi mbali mbali walialikwa kutoka serikalini ,vyama vya siasa na asasi zisizo za kiserikali.
Waimbaji wa Kwaya maarufu nchini Martha Ramadhani na Mary Ruhasha wakiimba wimbo maalum wa kuitakia amani Tanzania kwenye ibada maalumu iliyofanyika leo tar.29 September 2013 kwenye knisa la TGMIT Mwanza.
Waumini wa Kanisa la TGMIT  Mwanza wakiwa kwenye maombi maalum ya kuiombea Tanzania amani, ambapo Katibu wa NEC Itikadi na Unezi Nape Nnauye alikuwa mgeni mwalikwa na viongozi wengine kutoka serikalini,asasi zisizo za kiserikali na vyama vingine vya siasa.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI