Bibi Hilary Clinton akisalimiana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa
hafla ya kuweka mikakati ya kupambana na ujangili wa wanyama pori
hususan Tembo katika nchi za Afrika iliyofanyika katika hoteli ya
Sheraton jijini New York Marekani mwishoni mwa wiki iliyopita.Mfuko wa
Clinton Foundation utatoa msaada wa fedha kufanikisha mapambano dhidi ya
ujangili katika baadhi ya nchi za Afrika ikiwemo Tanzania.Viongozi
wengine wa Afrika waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Rais Yoweri
Museveni wa Uganda(kulia),Rais Joyce Banda wa Malawi(Wapili
kushoto),Rais Alassane Outarra wa Ivory Coast(watatu kushoto),Rais Ali
Omar Bongo wa Gabon(Wanne kushoto) na Rais Blaise Compaore wa Burkina
Fasso(wapili kulia). Watano kushoto aliyesimama ni Chelsea Clinton Binti
wa Rais Clinton ambaye ni mwanaharakati dhidi ya Ujangili.(picha na
Freddy
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments