MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA. DR. MARY MWANJELWA(CCM), AWACHANGIA LAKI TANO MASHABIKI WA TAWI LA MWANJELWA ENEO LA KABWE




 Juu na chini, Dr. Mary Mwanjelwa akipandisha bendera katika tawi hilo la Mwanjelwa ambako mashabiki wa timu ya Mbeya City, walimwalika kuwa mgeni rasmi.

 Viongozi wa Jiji la Mbeya wakishangilia ilipokuwa ikipanda bendera....
 Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akizungumza katika hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa tawi la wakereketwa wa timu ya Mbeya City.
 Kulia ni Mwenyekiti wa mashabiki wa Mbeya City FC, Willy Mastala, akifurahia baada ya kukabidhiwa fedha taslmi Tsh. 500,000 na Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa.



 Mbeya City hoyeeeeee..hoyeeeeee...hoyeeeee
 Mashabiki wa tawi la Mbeya City wakiwa pamoja katika hafla hiyo...

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI