MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA. DR. MARY MWANJELWA(CCM), AWACHANGIA LAKI TANO MASHABIKI WA TAWI LA MWANJELWA ENEO LA KABWE
Juu
na chini, Dr. Mary Mwanjelwa akipandisha bendera katika tawi hilo la
Mwanjelwa ambako mashabiki wa timu ya Mbeya City, walimwalika kuwa mgeni
rasmi.
Viongozi wa Jiji la Mbeya wakishangilia ilipokuwa ikipanda bendera....
Mkurugenzi
wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akizungumza katika hafla hiyo fupi ya
uzinduzi wa tawi la wakereketwa wa timu ya Mbeya City.
Kulia
ni Mwenyekiti wa mashabiki wa Mbeya City FC, Willy Mastala, akifurahia
baada ya kukabidhiwa fedha taslmi Tsh. 500,000 na Mbunge wa viti maalum
mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa.
Mbeya City hoyeeeeee..hoyeeeeee...hoyeeeee
Mashabiki wa tawi la Mbeya City wakiwa pamoja katika hafla hiyo...
Comments