AZAM FC YAUNYEMELEA UBINGWA WA LIGI KUU BARA, YAITANDIKA BAO 3 – 0 RUVU SHOOTING.

Azam Vs RuvuWanalambalamba timu ya Azam Fc imeonyesha kila kila dalili ya kutaka kunyakua ubingwa wa ligi kuu bara baada ya kuichapa Ruvu Shooting bao 3 kwa bila katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Mabatini .
Magoli ya Azam yalifungwa na Mwaikimba, Himid Mao na Kipre Tchetche. Kwa mujibu wa msimamo wa ligi kuu, timu ya  Azam imebakiza pointi 3 kuweza kuutwaa ubingwa huo huku ikiwa mbele kwa pointi  nne dhidi ya wapinzani wao Yanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.