BOMU LALIPUKA NA KUJERUHI WATU KWENYE BAR JIJINI ARUSHA.

ArushaMlipuko mkubwa umetokea hapo jana majira ya saa 1.30 usiku katika baa maarufu ya Arusha night park iliyopo eneo la Mianzini mjini Arusha na kujeruhi watu waliokuwepo eneo hilo.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa mlipuko huo ulitokana na bomu lililotengwa katika eneo la bar hiyo na kujeruhi watu zaidi ya 20 waliokuwa wakiangalia mechi kati ya Chelsea na Swansea.
Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya dk. Mohamed na Mount Meru. Mashuhuda wanaeleza kuwa kuna baadhi ya majeruhi wamekatika viungo kama miguu nakadhalika.
Hili ni tukio la tatu mjini arusha bomu kurushwa na kutegwa katika maeneo ya mikusanyiko ya watu ambayo ilipelekea kujeruhi na kupoteza maisha ya watu.
Arusha1 Arusha2 Arusha3
Mlipuko ArushaPichani ni sehemu ambayo mlipuko ulitokea.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.